Wednesday, June 8, 2011

KICHWA KIMEOTA KICHWA!


Bondia HASIM RAHMAN akiwa na nundu saizi ya mpira wa baseball.Hii ilikuwa ni katika pambano la uzito wa juu kati yake na EVANDER HOLYFIELD,JUNE, 2003,pambano hilo lilimalizika kunako raundi ya nane kutokana na RAHMAN kuwa na majeraha mabaya usoni na holyfield akapewa ushindi.Baada ya pambano rahman akahojiwa na akongea maneno haya ya kidhungu-"I DIDN'T THINK HE COULD DO SO MUCH DAMAGE WITH HIS HEAD. HE MUST HAVE A METAL PLATE IN THERE OR SOMETHING...I HAVE A CUT IN THE MIDDLE OF MY FOREHEAD, AND AN EXTRA HEAD ON MY HEAD."

No comments:

Post a Comment