Wednesday, June 8, 2011

BAKA BOYZ!


Wakali wa michano from Rock city mwanza,wanaitwa BAKA BOYZ ambao wanasikika na ngoma zao za ukweli kama vile Huu ndo muda,kichurachura pamoja na naongea na vijana.Hapa walikuwa wamemaliza kufanya interview katika kipindi cha michano time ya Passion Fm mwanza siku ya wednesday 8/06/11.from left to right ni Biznea,Roland na Kadgo.Washkaji hawa wanapatikana maeneo ya nyakato,mecco south, Rock city,ukitaka kuwasikiliza vema wee tune tu Passion fm utawagumia live.Tunasubiri mzigo wa album hopin ita-drop very soooon!

No comments:

Post a Comment