Monday, June 6, 2011

Fisi ni fisi tu, kumbe mbunge ana mke kisu ile mbayaaaaa!


Huyu mama anaitwa Huma Abedin,ndio mama mjengo(mke) wa mbunge Anthony Weiner.Huyu mama sio tu kwamba ni msomi bali bata lake ni noomaaa,kwa taarifa yako huyu mama ni mmoja wa wasaidizi wa juu sana wa Hillary Clinton ambaye ni secretary of state huko mbelembele,hapa bibie Huma alikuwa akimfungulia mlango mama Clinton katika moja ya mavikao yao hukohuko washington ndo mapaparazi wakamfotoa,kwichaaaaaaaang!

No comments:

Post a Comment