Wednesday, June 8, 2011

WATOTO WANAMIDOMO MIKUBWA LAKINI SIO KAMA HUYU!


Hakuna kitu kinachokera kama sisi tunaokaa nyumba za kupanga, hazina cieling board halafu chumba cha jirani kuna mtoto anakuwa analia hasa mida ya usiku ambapo tunataka kujipumzisha.Sipati picha mtoto kama huyu atapiga kelele kiasi gani pindi atakapoamua kufungua mdomo wake kwa kilio!

No comments:

Post a Comment