Wednesday, August 24, 2011

MANCHESTA YUNAITED CLASS OF 2011-2012


Kulikuwa na class of 92 enzi hizo za kina paulo scholesy,David beckham,ryan giggs na wengineo,soccer pundit mmoja anaitwa Alan Hansen akamwambia Ferguson kuwa ''YOu will win nothing with kids'' huo ulikuwa mwaka 95-96.msimu huo manchester wakatwaa taji na mwaka unaofuatia,sasa je hii class of 2011 ya babu fergie itawezaaaa?

No comments:

Post a Comment