Tuesday, June 7, 2011

BREAST IN SHOW!!!


Ingawa kazi zake za kimuziki zimekuwa zikiwakuna watu wengi,lakini naingia wasiwasi inawezekana Lady GaGa ni msanii asiyejua kuvaa zaidi kuliko wasanii wote duniani.Tatizo wazungu wanapenda kusifia kila kitu hata mambo mengine yasiyoyofaa, wamemaliza kila kitu sasa wanatafuta kitu kinachoitwa na Bw. Misosi"NITOKE VIPI".

No comments:

Post a Comment