Wednesday, June 8, 2011

Jos Mtambo!

!

Jose Mtambo wa kigambo, mmoja kati ya washkaji wa bongo wanaokaza katika hip hop ile kinoma noma,hivi karibuni amedondosha dude moja hivi linaitwa BATA BOY akiwashirikisha masela wengine kibwena kama vile Babuu wa kitaa,cowboy ngwea,Fid Q The don Ngosha na baba jonii Adam Mchomvu.Hilo dude baya sana unaweza ukawa unalisikiliza kupita Passion fm ukiwa dar,Arusha ama rock city mwanza,sana tuuuu!

No comments:

Post a Comment