Monday, June 6, 2011

Duh, nilidhani wahanga wa gongo la mboto DSM!


Hawa ni watu wa kabila la Aborigines ambao naskia ndio wazawa halisi wa AUSTRALIA hukoooo uzunguni, lakini maisha yao ni duni balaa.Serikali inapenda kuwasaidia lakini inalalamika kwa kabila hilo kutopenda kujishughulisha.Viongozi wa kabila hilo pia wanailalamikia serikali kwamba haiwajali.Hii inaitwa nani amfunge paka kengele!!!

No comments:

Post a Comment