Monday, June 6, 2011

NATO sio mchezo!!


Inawezekana Ghadafi ni kweli ana matatizo yake,lakini hii unayoitazama kwenye picha ndio hali halisi wanayoifanya Marekani na maswahiba zake wanaojiita MNATO oooops ni NATO kule Libya,sasa sijui wakitoka Tripoli watatua zao pale kati Dizim.U shud Ask yo self!

No comments:

Post a Comment